
Mbunge wa Mtama Lindi Nape Nnauye amerudi jimboni kwake na kuzungumza na Wananchi kwa mara ya kwanza toka aondolewe kwenye baraza la Mawaziri alikokua akitumikia nafasi ya Waziri wa habari, sanaa, Utamaduni na michezo.
Millard Ayo
SOMA ZAIDI
ni blog inayokuletea karibu taarifa za ofisi zote katika mkoa wa Dodoma. KARIBU DODOMA