ni blog inayokuletea karibu taarifa za ofisi zote katika mkoa wa Dodoma. KARIBU DODOMA
Nchi ya Palestina na Zanzibar watiliana saini ushirikiano katika sekta ya Afya
Wizara ya Afya imetiliana saini na Jamhuri ya watu wa Palestina makubaliano mapya ya mashirikiano ya miaka mitano ambapo Palestina itaipatia Wizara msaada wa mafunzo kwa madaktari na wafanyakazi wa kada nyengine.
Dewji Blog
SOMA ZAIDI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment