ni blog inayokuletea karibu taarifa za ofisi zote katika mkoa wa Dodoma. KARIBU DODOMA
Rais Magufuli apokea Ripoti za CAG Ikulu Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 27 Machi, 2017 amepokea ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa mwaka wa fedha unaoishia tarehe 30 Juni, 2016 Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Dewji Blog
SOMA ZAIDI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment