ni blog inayokuletea karibu taarifa za ofisi zote katika mkoa wa Dodoma. KARIBU DODOMA
Prof. Lipumba avitaka vyombo vya habari kutowatumia viongozi waliovuliwa madaraka
Katika hali isiyo ya kawaida, Baraza Kuu la Uongozi linalotambuliwa na Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Profesa Ibrahim Lipumba, limetangaza rasmi kumvua madaraka Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sherif Hamad na kumtaja Magdalena Sakaya kuwa Kaimu Katibu Mkuu, na kwamba atafanya kazi zote za Katibu Mkuu.
Dewji Blog
SOMA ZAIDI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment