ni blog inayokuletea karibu taarifa za ofisi zote katika mkoa wa Dodoma. KARIBU DODOMA
MWIGULU NCHEMBA: MTU ALIYEMTOLEA BASTOLA NAPE NNAUYE SIYO ASKARI POLISI
Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba amesema mtu aliyemtishia kwa bastola aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye si askari wa Jeshi la polisi, lakini ameshapatikana na atashughulikiwa kwa mujibu wa utaratibu wa ulinzi na usalama.
MALUNDE BLOG
SOMA ZAIDI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment